Posts

Showing posts from March, 2022

UCHUMI WA KUTISHA

Image
Wahenga walisema mnyonge mnyongeni haya ndio Masaibu yanayo wapata Wakenya kutokana na mfumuko wa bei za bidhaa nchini huku serikali yake ikijitia hamnazo na kuto wajali raia wake. HISANI google  Taifa la Kenya ni taifa lenye uchumi Bora zaidi Afrika mashariki. Kenya  Ina uchumi wa takriban trillioni Kumi na tatu lakini ni jambo la kuhuzunisha kuona kwamba licha ya uchumi wa mamilioni ya pesa wananchi wa taifa hili wanaishi maisha ya umasikini uliomithilika wananchi Hawa wanalala njaa Kwa kushindwa kumudu gharama ya maisha. Mfumuko wa wa bei ya bidhaa hivi majuzi nchini umewaacha wananchi katika njia panda huku familia kadhaa zikishindwa kabisa kukidhi hitaji la lishe Bora kila siku. Picha hisani Bei ya bidhaa nchini imepanda maradufu,huku nalo taifa likijiandaa Kwa uchaguzi mkuu Agosti Tisa. Wananchi wapiga kura wanaonekana kukerwa sana na bei za bidhaa.Maisha yamezidi kuwa magumu nchini huku wananchi wakiishi Kwa kubahatisha na kulia silele mama.  Licha ya uchochole na ...

THE BATTLE LINE FOR AUGUST ELECTIONS DRAWN WHAT IS YOUR STAND??

Image
  General elections in Kenya are held after every five years. Kenyans go to the ballot to elect leaders of their choice to represent them both in the national and county goverments. Every Kenyan citizen has freedom to exercise their political right as stated under article 38 of the Kenyan constitution of 2010. Once you are 18 years you are eligible to register and enjoy the privilege of being a voter to choose your own leader.Therefore no one is supposed to force you to vote for any candidate not of your choice and like as we all know leadership is taking the right actions. During the recent voters registration the Kenya electoral commission was aiming at registering 6 million new voters. But to our surprise the voter registration turn out was very poor hence the targeted number was not reached as only a few voters were registered. This turn out leads to our big question,Why would Kenyans especially the youth decide to look down upon their political right of voting? Who do we poin...

POLITICAL LIFE OF KALONZO MUSYOKA

Image
 Born on 24th December 1953 is former vice president Stephen Kalonzo Musyoka. Kalonzo joined active politics in the year 1983.Kalonzo vied for the Kitui North parliamentary seat but lost it by then Kenya was one party state KANU being the only umbrella under all who wanted seats vied in. However, only two years later, in 1985 the Kitui North seat was vacated and Musyoka won subsequent by-elections, thus becoming an MP at the age of 32. Kalonzo was appointed assistant minister in the ministry of Work, Housing and physical planning in 1986 where he served till 1988. He was re elected to parliament in 1988 where he also served as the deputy speaker of the national assembly upto 1992.From 1988 Kalonzo also served as KANU organising secretary to 2002. In 1992 Kalonzo was appointed minister for foreign affairs and international cooperation.In June 1993, he addressed the World Conference on Human Rights in Austria which was the first human rights conference held since the end of the Cold ...